Ali Kiba amelipuka mara tu baada ya wimbo wake mpya Diamond Platnumz.
King Kiba ambaye ndiye boss wa Kings Music Records, ameweka wazi kuwa yeye hana mshindani bongo fleva.
- INUA MIKONO PASTOR NESH’S OCTOPUS LIKE FUNCTIONALITY STIRS THE INDUSTRY! π₯π°πͺSome human beings have a multitasking functionality installed in them. Just like an Octopus, Pastor Nesh proves that…
- From Narok To The World Me Paramount Storms The Industry!β‘π’ππMeet the urban music Maasai musician who has got Kenyans talking. With his contemporary Urban and Afrobeat music…
- Wonderkid aka Simba Myoung The Top Content Creators Appeals To Uhuru Kenyatta!Timothy Moi aka Wonderkid aka Simba Myoung is a Kenyan artiste doing great music,born 22nd April 1994 from…
- Huwezi Elewa Trio Tsavo Gang Which Is A Threat!π₯Tsavo gang are upcoming artist in Taita Taveta. They are three artists ,who are Kim Qlassic ,Ally Tonka…
Mkali huyo wa ‘Seduce Me’ amekuwa gumzo mno kufuatia ngoma mpya chini ya lebo yake hio Kings Records, ‘Ndombolo’.
Kupitia ukrasa wake wa Instagram, King Kiba ameandika caption yenye utata huku akiwa na kundi lake la wasanii wa Kings Records.
“Kuku wangu watatu ni bora kuliko Ng’ombe wenu kumi” aliandika Kiba.
Hii inadhamiriwa kuwa yeye anauwezo mkubwa pamoja na wasanii wake wachache pale Kings Music Records kuliko genge la wasanii wa Diamond Platnumz huko Wcb Wasafi.
Je, unahisi kuwa King Kiba na ‘Kuku wake watatu’ wanatosha balaa za ‘Ng’ombe kumi wa Wcb Wasafi?’π