Jamanii Simba amegoma kurudi nyumbani baada ya kuangukia pua tuzo za BET Marekani.
Wengi wa mashabiki wa Diamond Platnumz wanasema kuwa msanii huyo huenda akawa anaona aibu kurudi nyumbani Tanzania baada ya kuambulia patupu tuzo za BET zilizofanyika huko Marekani mwishoni mwa mwezi Juni.
Diamond Platnumz alishindwa na msanii Burna Boy aliyetuzwa kama ‘Best International Act’.
- The Alleged Parallel Tallying Centre Of William RutoMillions Of Kenyans across the country are eagerly waiting for the presidential election results that involve top contenders Deputy President Dr.
- Wafula Chebukati Explains The Results Being Displayed By The MediaAccording to the stations, the results are based on form 34A’s that are accessible at the commission’s public portal.
- Ghetto Bwoy Unstoppable Collabo Hits Headlines! 🔥🇰🇪As Kenya decides on 9th August 2022, many musicians have championed for peaceful election. MITEGO SASA brings to…
Mashabiki wanadai kuwa Simba anawazuga kwa kujifanya kuwa yuko Marekani kwa ajili ya maandalizi ya Album yake mpya ‘World Album’ itakayoshirikisha mastaa wakubwa wa muziki duniani.
Licha ya madai hayo, msanii huyo wa bongo fleva amekuwa akitupia picha mbalimbali akiwa na wasanii wakubwa kama vile, Bustar Rythmes, Hitmaka, The Real Swizz, Wizkhalifa lakini pia anadaiwa kuingia studioni na Rihanna. Je, itakuwaje?
Je ni kweli Diamond Platnumz anaogopa aibu kurudi nyumbani Tanzania au yuko busy akiandaa Album?🤔🇹🇿