Mwanahabari mrembo kutoka Ukambani amwaga ya moyoni.
- FIFA To Prevent African Players To Win World Cup! ๐Josรฉ Mourinho wants FIFA to prevent African players from representing countries other than their country of origin.…
- Busia Man Buys Himself A Third Coffin ! โฐ๏ธ๐ฐ๐ชAn Old Busia Man buys himself a third coffin worth Ksh 58,000 in preparation for his burial…
- Indonesian Woman Finally Finds Out Her Husband Is Actually A Woman After 10 Months In Marriage! ๐ซ๐ฎ๐ฉThis looks weird really?! After starting up a relationship online, the two online lovers met up for…
Mwanahabari huyo wa Kituo cha runinga cha Citizen (Citizen TV) amefunguka mengi wakati akiwa kwenye mahojiano kwenye pindi kimoja kwenye Radio Maisha.
Lilian Muli amesema kuwa yeye pia ni mlevi wa pombe japo sio wengi wanafahamu hilo.
Baada ya kulizwa kati ya Willis Raburu, BenGithae na Ken Wa Maria, yupi anaweza kumpa Kiss, na yupi anaweza kukubali kwenda date naye, na Nani anaweza kumpiga Kofi, Lilian Muli akasema hivi;
“Naweza kukiss Raburu, Niende date na Ken Wa Maria, Nimslap au kumpiga Kofi Ben Githae”
Mwanadada huyo vilevile amekiri wazi kuwa yeye ndiye anatongoza wanaume sio wanaume kumtongoza.
Alienda kwa kumtania kumtongoza mwanahabari huyo Billy Mia wa Radio Maisha aliyekuwa akimhoji.
“Sasa sweety, how are you, si Leo nikupeleke out Kiambu Kwa ride ya Rangeโฆ” alisema Lilian Muli.
Je, unaweza kukubali kutongozwa na kupelekwa date na mwanamke ukiwa mwanaume? ๐ค