Sioni ramani na mlango wa kutokea
Nahisi parapanda mbinguni ndio naelekea
Makaburini ndugu nao wanalia
Kama mdizi hupandwa bora maisha sogelea
Nakumbuka umauti kabla hujanifikia
Lini linipiga goti mwenyez kumsujudia
Ooooh my God kashuka na malaika
Nini nitafanya ili aweze kuniacha
Oooh my God kashuka na malaika
Sina cha kufanya nazidi kutetemeka
Machache yaliofichwa yatasemwa siku nikifa
Nikiwa nimezikwa watanipa zangu sifa
Wata take my picha na kupost kwa insta
Watanipa sifa kwangu hazitasikika
Wataandika R.I.P nilale mahali pema
Ila mi siwasikiiii….
- From Narok To The World Me Paramount Storms The Industry!⚡📢😁🌍Meet the urban music Maasai musician who has got Kenyans talking. With his contemporary Urban and Afrobeat music style,…
- Wonderkid aka Simba Myoung The Top Content Creators Appeals To Uhuru Kenyatta!Timothy Moi aka Wonderkid aka Simba Myoung is a Kenyan artiste doing great music,born 22nd April 1994 from the…
- Huwezi Elewa Trio Tsavo Gang Which Is A Threat!🔥Tsavo gang are upcoming artist in Taita Taveta. They are three artists ,who are Kim Qlassic ,Ally Tonka and…
- Bahati Hits Back On Edwin Sifuna And Rachel Shebesh Over Mathare Bid!🇰🇪Mathare Parliamentary aspirant Kevin Bahati has hit back at the Orange Democratic Party (ODM) Secretary General Edwin Sifuna and…
Chorus….
Baba nisamehe dhambi zote kitabu cha hukumu jina langu fute mishumaa juu ya jeneza sina budi kwenda kwa Ebeneza
Mishumaaa juu ya jeneza sina budi kwenda kwa Ebeneza ×2
VIDEO hii hapa, tazama; https://youtu.be/hh60gQpGO10