Hii ndio collabo moja matata ambayo huenda ikaleta mwamko mpya kwenye game la muziki.
- From Narok To The World Me Paramount Storms The Industry!β‘π’ππMeet the urban music Maasai musician who has got Kenyans talking. With his contemporary Urban and Afrobeat music style,…
- Wonderkid aka Simba Myoung The Top Content Creators Appeals To Uhuru Kenyatta!Timothy Moi aka Wonderkid aka Simba Myoung is a Kenyan artiste doing great music,born 22nd April 1994 from the…
- Huwezi Elewa Trio Tsavo Gang Which Is A Threat!π₯Tsavo gang are upcoming artist in Taita Taveta. They are three artists ,who are Kim Qlassic ,Ally Tonka and…
Kutoka Pwani ya Kenya, wasanii wenye mvuto amekutanishwa na bwenyenye mmoja Kwa ajili ya kuandaa collabo ya pamoja kama wasanii wa Pwani.
Mabingwa hao ni pamoja na mkali Pday, Susumila, Dazlah, Ally B na Chikuzee.
Watano hao wameingia studio mjini Gatundo kurokodi Ngoma hio tayari.
Je, inawezekana ni wimbo wa kisiasa wa kumpigia madebe mgombea fulani kwenye siasa na uchaguzi wa mwaka hujao?
Lipi wazo Lako?π