in

Mejja Kuonesha Bongo Fleva Kivumbi Miaka 650! 🤣👏🇰🇪🔥

Mzee wa Tumbler’ aka Mejja Mgenge anazidi kujiongeza.

Msanii huyu wa Gengetone Kenya amepost Kwenye Facebook account yake kuhusu ujio mpya wa collabo na msanii hodari kutoka Bongo Fleva Tanzania,Jay Melody.

Jay Melody na Mejja Mgenge

Mejja ameandika Kwenye caption ya Picha kama ifuatavyo;

“Hii itasumbua miaka mia sita hamsini…
Mejja Genge x jay melody tz..💯♥️”

Je,unahisi collabo kati ya Mejja na Jay Melody inaweza kuwa kali sana kama anavyodai Mejja?

What do you think?

Written by Antony Mckenzy

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GIPHY App Key not set. Please check settings

Willy Paul Turns Gold Over The Night! 🇰🇪⭐️

Jose Chameleone Apologises Kissing His Brother Weasel ! 😎💋😤🇺🇬